Hiyo ndo point mkuu, kanuni ya adhabu 'penal code' , Education Act pamoja na Child Act zikisomwa kwa pamoja,zinakataza adhabu ya kifungo kwa mtoto mwenye umri wa miaka chini ya miaka 18,kwahiyo uenda huyo jamaa aliyemtia mimba mwanafunzi ni below 18 hivyo adhabu ya kiboko iko sahihi kabisa.
Duh kweli wabongo ni undefined, kwahiyo mlitaka majizi yaendelee kutuibia kwa kukwepa kodi?
Suala la kukwepa kodi na lile la kupunguziwa kodi ni vitu viwili tofauti. Na kuhusu ada za shule binafsi kuna sheria inayowaongoza kutoza ada si kwamba mtu akurupuke na kutoza milioni kumi then serikali...
Muleba kusini kwa Anna Tibaijuka kwa upande wa Chadema kapita Alistides Kashasira aliyepata kura zaidi ya 200 kati ya 400 na kulikuwa na zaidi ya watia nia 4
Kwani nani kawambia kuwa kuokota simu CMU ni kosa?unaweza okota ukatumia na ukatafutwa na polisi ukakamatwa but still huwez funguliwa shitaka lolote maybe utakachopoteza ni hiyo cmu kwani utapokonywa!
Hospital za makanisa zinahudumia watu wote bila kubagua lakini mahakama ya kadhi itabagua hivyo ruzuku kwenda kwa hayo mahospital ni sawa tu kwani huduma ni kwa wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.