Recent content by Vmatongo

  1. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

    Yaani uñataka ujinga wako uupeleke Kenya swaini
  2. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Joyce Kiria: Nilikubali kuolewa kwasababu ya umaskini na sio upendo

    Huyu Mwanamke akili yake anaijua mwenyewe!
  3. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Ni nani kati ya hawa 10 kutoka Upinzani anaweza kutoshana nguvu na Mgombea wa CCM Rais Samia?

    Kuna vitu umetuwekea hapa hatuvielewi, ivi bado akina Halima Mdee ni upinzani kweli!
  4. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Wapumbavu ni wale ambao wanatakiwa kwenda mbele wao wanarudi nyuma na wanaotakiwa kurudi nyuma wanakwenda mbele.
  5. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Hapo January anaingia kwa sababu ni Waziri wa mambo ya nje.
  6. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi...
  7. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Makonda chukua ushauri huu kuhusu kumsifia Hayati Magufuli

    Tayari umeapa kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha na wewe sio mgeni kwenye kazi ya ukuu wa Mkoa ulishaitumikia hapo mwanzo wakati wa Hayati Rais Magufuli. Sasa napenda kukushauri hili. Enzi za Magufuri zimeisha pita sasa hivi tupo na Mama Samia ndio Rais wetu hii tabia yako ya kumsifu na kumuenzi sana...
  8. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia mteue Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

    Hii ni bangi sio bure!
  9. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Huku mtaani kwa sasa hakuna mwanasiasa maarufu kuliko Makonda

    Unakoroma sana
  10. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

    Nchi imekosa watu hii mpaka akina Gwajima[emoji23]
  11. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Viongozi acheni ushamba na kujifanya mna uchungu kisa kubeti

    Mtazamo wa viongozi kwa vijana ni wa kiwango cha chini sana, sasa mnanza kutafuta visingizio ya vijana kutofanya kazi na kuwajibika sawa sawa mnafikiri ni kwa sababu ya betting yaani wote mnajikita kwenye sababu rahisi kwamba vijana wengi wamekuwa wanakimbilia kwenye kubeti kwa sababu hawana...
  12. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Jumba la kifahari la Mwenyekiti Mbowe lazua maswali ndani ya CHADEMA

    Nani kaleta haya makopo jamani!
  13. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

    Nani amesema Kinana sio mwizi, ndio maana ulifeli mitihani yote
  14. Vmatongo

    JamiiForums Tanzania Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

    Mambo anayofanya Makonda ya kupiga simu majukwaani na utoaji wake amri mbalimbali utakuwa unawashangaza hawa watendaji wakubwa wa CCM na hii inaonyesha Makonda sasa ana nguvu kuliko wao na hazuiliki sina hakika kama wanafurahia. Ingawa sura zao zinaonyesha kama hawafurahii kabisa lakini...
Back
Top Bottom