Recent content by Vlada8

  1. V

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi kwa mtu mwaminifu sana

    1.Ndio,lakini ni kwa mambo ya kawaida ya kila siku...mara zote nimejutia kwa kuwa uongo ni dhambi na una gharama kubwa kuulinda. 2.Hapana sijawahi. 3.Nitamuuzia kwa hiyo sh.90/=...kwa sababu kutokua mwaminifu kunapoteza wateja katika biashara.
  2. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Asante,bado inasumbua,ngoja nisikilizie kidogo mkuu
  3. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Sijui nini tatizo,najaribu kutuma ujumbe lakini inashindikana...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Ok,sio vibaya,tuwasiliane pm basi mkuu...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Kuna tatizo lolote?
  6. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Afadhali,naweza kupata namba yako tuwasiliane mkuu??
  7. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Ungepita kimya ingekua bora zaidi.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Sijakuelewa
  9. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Kuna mambo nataka nipate taarifa toka kwake/kwao..
  10. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki(Kondakta/Dereva)

    Habarini, Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri wowote na jinsia yeyote. **Lengo ni kubadilishana mawazo ya kimaisha(Urafiki wa kawaida) Yeyote...
Back
Top Bottom