Ulichoandika kinafikirisha, ila kwa logic ya zama hizo kabla wakina Galileo hawa jaja na hayo mapinduzi ya kisayansi jamii karibia zote zilikuwa zikiamini kuwa jua ndiyo linalo uzunguka ulimwengu. Kwa kutumia logic hiyo waandishi wakasema joshua alilisimamisha jua. Kwa maana nyingine kama...
Sun can goes down but God will not. Joshua aliwahi kulisimamisha jua, mwanadamu hana uwezo huo. Musa alimuuliza Mungu wakiniuliza niwaambie ww ni nani. Jibu la Mungu lilikuwa hili "mimi nipo ambaye niko" jua wanyama na other universal bodies ni utukufu wake. Ila Mungu yu ndani yetu.
Who is God!? God among Us. Nazani messiah alisha fafanua kuwa Mungu ni Roho na Wamuabudio harisi watamuabudu katika roho na kweli.
Mwili wako Ndiyo hekalu la Mungu. So don't get twisted. The true religion is LOVE.
Zao la bangi limekuwa likilimwa sana Tanzania, na tumeona kwenye vyombo vya habari mara nyingi tu mashamba ya bangi yakiteketezwa.
Ni ukweli usiopingika kuwa tumbaku inamadhara makubwa kuliko bangi. Nchini malekani baadhi ya majimbo yamesha haralisha kilimo hicho na baadhi ya nnchi za ulaya.
I...
Tangu zama za mawe mwanadamu amekuwa nguzo kubwa ya maendeleo,(man power) ongezeko la watu kwa jamii mbali mbali zilifanya binadamu kuweza kuendelea na kufanikisha shughuli zao za kimaendeleo wakati huo.
Lakini sasa zama nikama zinabadilika, mashine zinachukua nafasi kubwa ya binadamu kufanya...
[emoji28][emoji28][emoji28], poa basi baadaye kama vipi. Let's end it here for today. By the way I got your point. Sisi wote tu jamii mmoja iliyo kosa upendo Ndiyo maana tunashidwa kuendelea. Nimejifunza kitu tokea kwenye point zako. N I really enjoyed your argument. Be blessed, baadaye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.