Recent content by vivaforever

  1. vivaforever

    Urusi na China ni hatari kwa usalama wa Dunia

    Endelea kuongea kwa mihemko.... vita yenyewe ya Libya inaonekana hukuifuatilia kabisa... hujui hata aliyeshambulia msafara wa Ghaddafi mara ya mwisho kabisa hadi akauwawa ni nani. Halafu kwa akili yako mbovu usipojua adui anabomoa vipi lazima uwe muhanga tuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. vivaforever

    Urusi na China ni hatari kwa usalama wa Dunia

    Facts... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. vivaforever

    Urusi na China ni hatari kwa usalama wa Dunia

    Nashangaa... USA & Washirika wake wameivuruga sana amani ya Dunia lakini leo hii Russia ndo analaaniwa vikali kama hivi. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. vivaforever

    Urusi na China ni hatari kwa usalama wa Dunia

    Zaidi ya 70% ya migogoro ya kivita Duniani imesababishwa na U.S.A pekee... Halafu mbona watu mnakuwa wanafiki hivi..?? Hamuoni maovu yanayofanywa na U.S.A pamoja na washirika wake..?? 01. U.S.A & NATO waliivamia Libya na kumuua Ghadaffi, watu mkapiga kimya. Leo hii Libya amani hakuna...
  5. vivaforever

    Fact check: Je, unajua kuwa nyota zote unazoziona angani ni muonekano wa jinsi zilivyo kwa miaka kadhaa iliyopita?

    Nyota nyingi tunazoziona angani zishakufa kitambo... sema zipo mbali sana na mwanga wake huchukua miaka mingi hadi kutufikia.
  6. vivaforever

    Maeneo hatari kutembelea duniani, hasa kwa watalii

    Duniani kuna baadhi ya maeneo ukiyafikiria tuu huwa yanakutamanisha sana kiasi ukatamani siku uende kuyatembelea.. lakini kiuhalisia ni maeneo hatarishi zaidi hapa Duniani. Kiuhalisia Dunia ina maeneo mengi ambayo ni hatari kuyatembelea lakini kwenye uzi huu nitayaongelea machache tuu ambayo...
  7. vivaforever

    Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

    [emoji22][emoji22] Kaka.... mbona unatulisha matango pori...??
  8. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Natumia JF App... napata taabu ku-upload pics. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Nchi nyingi za Asia na America ya Kusini pia huwa zina magereza yenye sifa mbaya sana... hii list inafikia hadi magereza 25. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Ni unywama mtupu yaani... sema kama Rwanda pale Gitarama huwa wanafanya kwa kisasi. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    There are like 25.. will add some in next thread. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Will add some in next thread. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Issue sio mateso tuu... Sent using Jamii Forums mobile app
  15. vivaforever

    Magereza yenye sifa mbaya zaidi duniani

    Ndo nani huyo...? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom