Msaada wenu tafadhali kuna jamaa mmoja alikuwa na ugomvi na mke wake ndipo yule mwanaume alipoamua kuchukua kipande cha tofali na kumrushia mke wake lakini mama yule alifanikiwa kulikwepa tofali lile na kumfikia mtoto mdogo mwenye miezi mitano.
Baada ya kumpeleka mtoto yule hospitali alipewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.