Uzee upo akilini mwenu,mwenzenu Hadi nafikisha 79years ntakuwa natembeza tu bakora,kifupi mm ndiye wahenga waliyenilenga waliposema Ngombe hazeeki ini.
Uzee upo akilini mwenu,mwenzenu Hadi nafikisha 79years ntakuwa natembeza tu bakora,kifupi mm ndiye wahenga waliyenilenga waliposema Ngombe hazeeki ini.
😁mngekuwa mmejenga ungekoma, hapo jikatae,maana na wewe na undondocha wako unataka aanze kusaka ghto na watoto mgongoni?Wenzio tushaacha maghto kibao kama mm hili naenda kumuachia huyu marlayaa ni la Tano.
Mkuu ungeshauri masela wasile msosi uliopikwa na manzi maana haijalishi ni wa bure au umetoa Hela,nyumbani au Kwa mama ntilie,wataweka tu wakiamua.Hujaona mtu anaacha vyuku home anaenda jilamba na maharage Kwa mama ntilie?Wanawake ni kwikwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.