Recent content by Vitalismathew

  1. V

    Naomba ushauri wa Chuo kizuri cha Serikali kinachotoa Diploma ya Nursing na Midwifery

    Habari wanafamilia wa jamiiforum ninaomba mniambie chuo kizuri cha cha serikali kinachotoa diploma ya Nursing na Midwifery.
  2. V

    Mabasi ya mikoani hususan yanayosafiri usiku yana changamoto ya ubora

    Kuna changamoto ya mabus ya mikoani hususan yanayosafiri usiku.. nimewahi kupakia mabus kama Kitumbo(Dodoma - Dar) na Kimotco (Dodoma - Arusha) kwanza kabisa haya mabus ni kama daladala maana yanasimama ovyo na kpakia watu wengi had wengine wanasimama. Mbaya zaid haya mabus huwa hawafanyi...
  3. V

    Mfumo wa udahili chuo cha NIT

    Nilicreate account kwenye chuo cha NIT ili nimuombee mdogo wangu chuo round ya pili lakni nilipata shida ya kupata control number ya malipo ili niweze kuendelea na hatua nyingine... Lakin kila nkupiga namba ambazo wao wenyew NIT wameziweka kwenye mfumo wao(https://oas.nit.ac.tz) zimekua...
Back
Top Bottom