Mchakato wa katiba uanzie rasimu ya katiba pendekezi ya Warioba.Kwani hayo ndiyo maoni na mapendekezo wananchi.
Napendekeza mchakato wa katiba uanzie hapo na tuweke time frame ili kabla ya 2024 tuwe na katiba.Tunapoteza pesa na muda kwa kuwa kamati hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.