Kwa muda mrefu niliteswa na hisia za kutamani wanaume wenzangu nimeishi na hii hali kwa muda mrefu sana
Nilikua sina hisia kabisa na wanawake yaani nilikua nikisogelewa na mwanamke natetemeka mwili nzima
Sikuwahi kufanya mapenzi na mwanamke kwa miaka mingi sana tokea nimebalehe na hata...
Guys nisaidieni sehemu wanapouza biriani nzuri kwa dsm kwa siku ya kesho jumatano
Sio biriani tu au panauzwa pilau au michemsho ya samaki au nyama za mbuz ngombe au kuku
Ila pawe bei za kawaida za kati yaani bei ya sahani ianzie elfu 3 , elfu 4 hadi elfu 5 kwa sahani km ni kisinia basi isizidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.