Ukakasi mtupu.Kuna walakini hapa. Maana msisitizo na mtiririko ulioweka katika kuchambua aina ya wanaume uwapendao ukilinganisha na wanawake inaleta ukakasi kidogo.
Nahisi hao wanawake umewaweka ili ku neutralize uzi tu watu wasikushambulie lakin dhumuni hasa la uzi huu ni kuhusu kutaka mabouncer ambao ni wanaume wenzio.
Guys mimi napendaga watu wa Gym yaan mtu uwe umejazia uwe na six pack mwili wa mazoezi
Yaani mm mood yangu ipo kwa watu walojazia tu
Hilo jamaa shoga, linataka basha wa kumpumulia nyuma.Unakunwa , unapaswa au unapulizwa ..