Recent content by virtualLife

  1. V

    'Oraimo Freepods Lite' ipoje? Wale mnaotumia tunaomba feedback

    Ndio zipo. Tsh. 35,000 Dar, Kariakoo mtaa wa Mchikichi & Livingstone.. Mwezi ujao tutakuwa Likoma jirani na kanisa la KKKT. Pia tunatuma mikoa yote. Karibu.
  2. V

    'Oraimo Freepods Lite' ipoje? Wale mnaotumia tunaomba feedback

    wasiliana na huyu 0736721269 whatsap/sms/calls.
  3. V

    'Oraimo Freepods Lite' ipoje? Wale mnaotumia tunaomba feedback

    pindi zinaingia mwaka jana rejareja nilikuwa nauza 40,000.. ila zimeshuka bei, ni vile tu dollar imepanda nikapandisha tena hadi 35,000 kwa rejareja. ila ukihitaji jumla ziko na bei yake na unapata muda utakao. kwa 35,000 unapata ndani ya muda utakao, iwezekanavyo. rangi ni nyeupe na nyeusi.
  4. V

    'Oraimo Freepods Lite' ipoje? Wale mnaotumia tunaomba feedback

    kweli ni nzuri ukifananisha na earphones nyingi za bei hiyo, hata wateja wa rejareja walikuwa wananunua kwa kurudia yani jamaa zao wakizijaribu nao wanazitaka. kwa upande wangu zikaniulia soko la lenovo xt92 ambazo zinafanana kiasi ila chaji na bass gm2 pro ni zaidi. ila bei zinaendana. Ila...
  5. V

    'Oraimo Freepods Lite' ipoje? Wale mnaotumia tunaomba feedback

    Lenovo GM2 pro ziko vizuri kwa pods za bei hizi, nimeziuza toka mwaka jana na nilikuwa natoa warranty. ila tofauti na aina nyingine ambazo nimeuza, hizi hazisumbui kwa zaidi ya 99+%, hiyo 1% nimetoa kwa hakiba tu. kesi nliyowahi kupata ni moja tu, nayo ilikuwa kabla mteja hata ajaanza kuzitumia...
  6. V

    Hofu inaturudisha nyuma wengi

    Ya pili kama ina tekelezeka. japo hiyo ya pili naona kama unamuumiza huyo unaye mpa hela. 1% ni kubwa kwa kila siku kwa mwaka. Ni ngumu kukulipa. yani ndani ya mwaka umpe mtu 2.5M arudishe 9.1M Hapo na yeye awe kanufaika na huo uwekezaji wako. Mfano Umempa Usiye Mjua 2.5M Usiye Mjua kanunua...
  7. V

    Hivi utajiri mgumu kiasi hiki, mbona naishi kama sufuria

    Na ukiwakuta wanatafuta wateja bla bla kibao, utawasikia mizigo inatoka mara mbili kwa wiki au kila wiki mara moja, sasa jiroge uwe na mzigo wa haraka. Agiza ila usitarajie sana kupata ndani ya siku walizo ku bla bla japo kuna muda(mara chache) huwa inatokea unapata ndani ya Muda.
  8. V

    Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

    Uzoefu wangu kwa uchache. nina miezi mitatu, nimeuza bidhaa 300+ kupitia online. NILIYO KUTANA NAYO Wateja wengi wanahofu ya kupigwa hivyo wateja zaid ya 150 niliwaruhusu wanilipe baada ya kupokea mzigo Kati yao 4 wakanipiga(hawajanilipa kabisa), 2 wakajipa punguzo wakalipa pungufu ya kiasi...
Back
Top Bottom