Maisha yana tafsiri nyingi sana.matatizo huja wakati mwingine kwa faida ya mwenye kukutwa na matatizo husika hapo mi nachoona kuna mawili
1. Misiba imetokea ili huyo jamaa yako ajue uhalisia wako katika kujali shida zako yaani kiwango cha uvumilivu kilichopo ndani yako pindi apatapo shida. Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.