Saint Murano
Member
- Mar 31, 2019
- 97
- 264
Habari ndugu zangu.
Mimi niko Mbeya, ni mgeni nimefika kwa mara ya kwanza kwa nia ya kutafuta maisha, Sasa basi hapani nilipo nina laki tano 500,000 kama mtaji.
Msaada ninaohitaji toka kwenu ndugu zangu mnisaidie wazo la biashara au biashara inayoweza kunilipa kwa huo mtaji hapa jijini Mbeya.
Asanteni sana naomba msaada wenu ndugu wa kimawazo.
Mimi niko Mbeya, ni mgeni nimefika kwa mara ya kwanza kwa nia ya kutafuta maisha, Sasa basi hapani nilipo nina laki tano 500,000 kama mtaji.
Msaada ninaohitaji toka kwenu ndugu zangu mnisaidie wazo la biashara au biashara inayoweza kunilipa kwa huo mtaji hapa jijini Mbeya.
Asanteni sana naomba msaada wenu ndugu wa kimawazo.