Kuna chuo kinaitwa City collage kipo dar na kimesajiliwa na nacte...
ingia kwenye website yao chukua contact wapigie ....nahisi utaelewa na autabishana tena......au ni Pm nikupe maelezo vizur
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuongea pumba
#ushauli kwako uspende kuongea vitu usivokua na uhakika navyo
CBG anauwezo wa kusoma medical lab na kufanya kazi vizuri......Kama unaitaji msaada wa maelezo zaidi ni Pm..
Sent using Jamii Forums mobile app
We Jmaa acha uongo ....Kama hamjui vitu x bola kukaa kimya kuliko kukatisha mtu tamaa......uwezekano wa kusoma upooo tena mkubwa ukitaji ni PM...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlifanya application udom tangu tar22 siku walio tangaza wananza kipokea maombi
Lakini mpaka Leo application zangu ziko pending na wanataka nlipe tena
Akati mwanzo nlilipa 30,000
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.