Recent content by Vinchthedream

  1. Vinchthedream

    GE2015 Moses Mwizarubi kumvaa Lema Arusha

    Mimi sio Magamba mkuu
  2. Vinchthedream

    GE2015 Moses Mwizarubi kumvaa Lema Arusha

    Wengine kina nani mkuu??
  3. Vinchthedream

    GE2015 Moses Mwizarubi kumvaa Lema Arusha

    Alikua Tanzania one Form four na Form six Ni zao la Ilboru sekondari Mwaka 2004 alifanya Mahojino na Gazeti moja la Arusha alipotangazwa kuwa Tanzania one http://www.arushatimes.co.tz/2004/17/interview.htm . Achukua fomu ya kuwania ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi
  4. Vinchthedream

    Tamko la mali na madeni ya Zitto Kabwe wa chama cha ACT Wazalendo

    Hivi a/c ya USD na TSHS huwa si zinakua tofauti?? Mbona kataja moja tu wakati ana USD crdb pia?? Najiuliza tuu
  5. Vinchthedream

    Tamko la mali na madeni ya Zitto Kabwe wa chama cha ACT Wazalendo

    Ametangaza au amewatangazia nyie ACT? Ziweke hapa tumuumbue....
  6. Vinchthedream

    Tamko Rasmi la Wanafunzi wa Vyuo vya Dodoma

    Jonh's ndio chuo kipi??? au hata kuandika Jina la chuo chako unakosea...hizi zote ni mbinu chafu za kisiasa.....
  7. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Umesoma Havard au Stanford?
  8. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Sawa msemaji wa TCU tumekuelewa.
  9. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Nakupa kazi ya kumfuatilia amefanya nini hivi karibuni...
  10. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Unamfahamu Ted Cruz wewe???
  11. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Na huyu aliyeenda kabisa katika chuo kutangaza nia ya kugombea Urais??? http://edition.cnn.com/2015/03/22/politics/ted-cruz-election-2016-liberty-university/ .Acheni chuki na kutokujiamini...
  12. Vinchthedream

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Mbona na mimi nafanya kazi na hao waliosoma vyuo vyenu mnavyo visifia ni wa kawaida sana hakuna kitu?? Mtoa post, Wale ni wanavyuo wa Dodoma ila ili upate umaarufu hapa ukaamua kuhusisha moja kwa moja na Chuo kinachokunyima usingizi....
  13. Vinchthedream

    Honours degree

    wakuu naombeni ufafanuzi kwa mwenye uelewa kuhusu hiki kinachoitwa A degree with honours
Back
Top Bottom