Recent content by Vincent255

  1. V

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Mkuu kwa nn asiwe na amani wakat kachuma kwa jasho lake? Kwa nn ajifiche fiche
  2. V

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Dah huu sio ududu kabisa
  3. V

    JamiiForums Tanzania Msaada huduma ya mkopo kwa mtumishi wa umma ambaye hajathibitishwa kazini

    Wakuu samahani, naomba msaada kama naweza kupata mkopo wa 3M mahali nikawa nalipa kwa awamu, Mimi ni mtumishi wa umma bado sijathibitishwa kazini nina miezi 7 kazini
  4. V

    JamiiForums Tanzania Nimeletewa bill ya maji isiyo sahihi. Naomba msaada kwa mwenye Uelewa

    Nilikua kwenye nyumba moja ya kupanga pale Moro kichangani, bill ilikua inaenda vizuri ghafla ikaanza kujidouble. Mwezi huu ikija 20 mwez ujao inakuja 40 mwezi unaofuata 80. Tukalalamika kwenye mamlaka wakasema watatuma fundi aje aangalie bill ikaendelea kuchanja mbuga na fundi haji fundi...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Hivi unajisikiaje kulala ukiwa uchi

    Inategemea unalala na nani
Back
Top Bottom