Habari! Pole kwa unayopitia.
Ndoa ndoana, walimwengu walisema! Miaka kumi katika ndoa na matunda ya watoto watatu, hongera! Kwa ujumla, ni kwamba mke haitaji tena ndoa, kakuchoka. Nadhani, kwa mtazamo wangu, umechangia kumfanya aiendeleze tabia hii. Umekuwa mpole sana kwake kiasi cha kukufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.