Recent content by vicyz

  1. V

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la ajali za barabarani

    Jamani JF kila kitu kinafanyika kwa sababu ajali za barabarani hatushangai kama ilivyo foleni dar hii .Lakini watu wameeka mazoea ya kusikia ajali tu na sababu hizo hizo .Xa kama madereva wakijitambua na kujua huko kwenye gari au mabasi kuna roho za watu .Na mazingira ya road contractors...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Mwendelezo wa lile tukio la yule mtoto anayeweza kusolve hesabu hadi za Sekondari

    Huyo mtoto ni mtoto wa ajabu sijawahi kusikia but wazazi au walezi jitahidieni kumkuza vizuri kielimu n mazingira mazuri ndo viongozi wenye malengo na nia za baadae kama huyo mtoto:-)
  3. V

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli ubahili unaweza kumfanya mtu awe tajiri?

    Mtu mbahili sidhani kama itakufanya utajirike ukiwa mbahili kwenye kutoa utakuwa mvivu hata kufikiri....kwa kufanikiwa unatakiwa ujitoe wewe frika yako na kipesa ili uone faida baadae n utajirike pia kama Matajiri wengine
  4. V

    JamiiForums Tanzania Picha: Mwanamke Mwafrika apigwa kichapo cha mbwa kule India

    Sizani wankuwa wazungu kama wangekubali....pole sana
Back
Top Bottom