jamiimemba
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 156
- 39
kumekuwa na ongezeko la ajali za barabarani kwa huu mwaka mfano mzuri kwa wiki hii tu kuna ajali nying ambazo zimetokea na weng wamepoteza maisha yao mfno basi la majinja,princess muro,fm safari, luwinzo,mbinga express n.k yan kwa kwel inasikitisha sana watu wanapoteza uhai wao bila ya hatia yoyote na unakuta mtu alikuwa anategemewa na wengne hata hawakuanza kula maisha ndo walikuwa wanakaribia ku graduate alaf mtu anapoteza maisha kisa uzembe wa madereza coz mi naamin gari likiwa katka mwendo wa wastan hata tairi likipasuka dereva anakuwa na uwezo mkubwa wa kulicontrol lakn akiwa katka mwendo kasi kikitokea itiraf yoyote lazma gari ipate ajal ya nguv sasa natoa wito kwa sote tunao safir mara kwa mara aidha kikaz au shughuli za kibiasha mkiona mwendo kas mkemee wote kwa nguv zote maana we ukipata ajal ukivunjika mguu dereva hakuchangii hata shlng 100 kwenye matibabu yako zaid mkionana atakupa pole tu sasa chonde stop accidents, say no to high speed