Kuna walio imba ngonjera nyingi sana kwamba mwisho wa chadema ni mwaka fulani lakini wao ndio umekuwa mwisho wao nakumbuka ya mtu wakale kule bunda yuko kweli
Demokrasia nigarama unaweza kuvunjwa hata na jambaz bora tuvunjwe tuki tetea haki kuliko kupokwa haki hio siku ndio mtajua tofauti ya makamanda na makada
Matamko ya ovyo ovyo mazuio ya kijinga yasio kuwa na tija kwa taifa ndio yataleta machafuko kama polisccm watashindwa kumzibit mpiga sumari sisi tuta wasaidia
Naona kila mmasai sasaivi ni adui wa serikali au mnaogopa mzim wa lowassa? Polisccm aiwezi kuturudisha nyuma au kutufunga mdomo kwa tishio la kutufunga eti anatetea waovu ivi wewe unajua watu waovu Kweli walio mteka Dr Olimboka walio mua Dr mvungi ndio wema kwako magereza nisehem salama sana...
Tumezalisha vijana wanafiki wasaka tonge kwa watawala polis nao ili apandishwe cheo au wawekwe kwenye orodha ya udc
Kuna siku neno la Mungu lita simama nae Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgum ili utukufu wake uweze kudhirika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.