Ni jambo jema sana, mm hilo wazo nililifikiria tangu niko chuoni mwaka jana 2013, bila kusita nikaanzisha kikundi kiko hivo hivo na operational divisions kama kilimo, mifugo, microfinancing, social caring, mazingira na cheti ninacho cha usajiri...! Mm niko dar ila makao makuu ya kikundi kiko...