Katiba mpya sio takwa la chama cha CCM na viongozi wa serikali waliopo madarakani....
Ni takwa la wananchi ndio maana walijitoa kupendekeza kila hitaji la rasimu ya katiba lililosimamiwa na Mzee Baregu, Jaji Warioba na wenzie kina Polepole n.k
Katiba mpya ni takwa la wananchi wa jamuhuri ya...
Mwambieni Lau Masha sisi Chadema hatukuwahi kuunga mkono wala kuhubiri utekaji watu( Ben-Rabiu Wa Saanane ),uuwaji(coco beach,mto ruvu kule bagamoyo)/upigaji watu risasi mchana kweupe na watendaji wa haya kutopatikana hadi leo na hutujui wapi na nini kimefanyika kuhusu hawa ndugu zetu na wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.