Sikia....
Mzee Mengi alikuwa na gazeti linaitwa ALASIRI. Halikuleta faida. Lete Raha vile vile. Ushindani wa magazeti mengine ulikuwa mkali. Wasomaji wakabadilika. Internet zikaingia nk. Akaachana nayo. Afu wewe eti unataka ufundishwe biashara ambayo hutaki kupoteza hela. Kaa na hela zako tu...
Kama kuna kampuni ya OVYO, SCAM, TAPELI, ISIYOLIPA, lkn inatoa zawadi magari 35, saa zaidi ya 700, simu zaidi ya 330 kwa wadau wake tena wakilindwa na vyombo vya dola kwa usalama wao, nadhani hiyo ndo kampuni ya kujiunga nayo. Kuliko kujitenga nayo ukabaki na ufukara wa mawazo(maana kufikiri na...
:[emoji298]D9 Clube imeanzishwa kma shule yenye madhumuni ya kuwafundisha watu kuwa professional Traders ...yaan wataalamu wa kununua na kuuza hisa haswa za michezo..D9 wenyewe ni shule tu lkn inashirikiana na kampuni inaitwa Betfair hawa ndio walimu au wataalamu wa ku trade..
[emoji298]Mr...
HAYA NDIYO MATANGAZO YAO:
D9 CLUB IN TANZANIA WEKEZA UPATE FAIDA MARA DUFU NDANI YA D9 CLUB
D9 CLUB au D9 SPORT TRADING> ni biashara ya kuuza na kununua hisa za michezo kimataifa ambapo mwanachama anapata faida kila wiki kulingana na hisa zake kwenye kampuni na kukuza pato lake na taifa pia...
YE TEKNOLOJIA MPYA AINA YA "CRYPTOCURRENCY"<br /><br />HISTORIA FUPI YA FEDHA AINA YA "Cryptocurrency" <br /><br />Uvumbubuzi/iinovation ya fedha aina ya cryptocurrency ilianza mwaka 2009 baada ya anguko la kiuchumi la dunia la mwaka 2008. Mwanzilishi anaitwa Satoshi Nakamoto ambaye kimsingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.