Habari wadau.
Nina mpango wa kufungua mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Niweke kwenye package kisha nisafirishe mikoani kwa wateja wa jumla.
Mashine, packages, mahindi, na mengine yanayohitajika ninayo, ila napata changamoto kwenye suala la uhakika wa soko.
Naomba kama kuna mwenye ufahamu...
Anything attached to the land form part and parcel of land.
Hahahahahahahahahaha
Usinibip,
Nipe tuu sababu za kuwepo kwa kilatini na Kifaransa kwenye sheria.
Habarini wadau.
Kuna lugha nyingi sana duniani, lakini kwanini kwenye sheria utakuta wanatumia misamiati ya kilatini na Kifaransa? Na ni kwanini ziwe hizo tuu? Natanguliza shukrani zangu.
Habarini wadau.
Naomba mtu anayesoma open university, ama mwenye manual ya c. k mtaki ya legal system part one and two, au anaejua namna ninayoweza kuipata. tuwasiliane. Aje pm.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.