Ramani za nyumba bora zinapatikana kwa bei ndogo sana na pia tunaweza kumshirikisha mteja wetu wakati wa utengezaji,tafadhari wasiliana nasi kwa simu namba 0625904597
Kwa mahitaji ya ramani za nyumba bora (modern house) please wasiliana na mimi. Tunatengeneza ramani za nyumba za kawaida (single storey) za ghorofa mbili (double storey) na kuendelea please wasiliana na mimi kwa namba 0714219591
Ninahitaji Loan Officer au Credit Officer ambaye tayari ameajiliwa kwenye bank yoyote inayotoa mikopo ya Mortgage. Kikubwa nataka aniunganishe na wateja wanaohitaji kufanyiwa uthamini/valuation wa mali(nyumba, viwanja na mashamba). Tutagawana vizuri kitakachopatikana. Tafadhali wasiliana namu
Jamani mimi ni Valuer/Mthamini wa kujitegemea katika makampuni mbalimbali natafuta Loan Officers kwenye mabenki mbalimbali ili tufanye kazi pamoja. Tutalipana vizuri.
Wasiliana nami kupitia no. 0714219591.
Nipo Dar es salaam.
Jamani wadau huku kwetu hatuna umeme. Tanesco wana agenda gani na kutubania uhuru wa kuona maovu ya wezi wetu idodoma jioni hii kwenye uwasilishaji wa report ya escrow.
Japo nimejitahidi kurudi mapema kuona madudu yaoiyofanywa kwenye report ya escrow itakayo wasilishwa jioni ya leo bungeno dodoma lakini tanesco nao wamekata umeme. Je wana agenda gani na hili. Jamani wadau nani anaweza kuwaambia waturudishie umeme huku kwetu tabata.
Kingine sisi tuna miji mingapi maana hata dodoma yetu si haba au haujafanya research kabla ya kupost hii habari. na kwa taarifa yako kigali ipo stagnant baada ya m23 kitolewa kongo. palikua na pesa ya damu iliyokua inavunwa kongo chezea kagame we.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.