Recent content by vicent01

  1. V

    Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

    kumbe tupo wengi m toka wa 7 mpka sasa yan eeeeeeeh juzi nimeenda kufanya kaz sehm moja ya serikali basi nikajua ndo tayar yan adi machizi niliwatumia message ilikua pale posta
  2. V

    Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

    we ndo umenielewa chief nikajua kuna connection apo na mitandao ya Tanzania hapa au na tcra mana dah
  3. V

    Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

    Kuna mbinu nimeivumbua ingekua ni halali nastahili tuzo kabisa
  4. V

    Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

    Yan sijui nikujibu vp yaan natumia kuanzia network za home kufanya Mambo ila sijaharibu nyumban ni uko tu.km ni mtaalam ushanielewa
  5. V

    Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

    Habari wakuu, kuna wengine hawata nielewa .kwa mlionielewa ebu tililiken apo chini mana sitembei kwa raha maden yamezidi uko sina mengi najua kuna majenerali wenzangu wa mitandaoni mnanielewa kuhusu ujanja ujanja najiulizaga haya je? Nitatiwa nguvuni au laa Au tcra watanishughulikia Na je...
  6. V

    INAUZWA Inauzwa power mixer G4

    kama unafanya kaz ya kutoa story au kuelezea kitu i think u need this
  7. V

    INAUZWA Inauzwa power mixer G4

    Habari Naiuza hi power mixer ya Yamaha g4 in njia nne yaan maiki nne kwa wakati mmja ina power ya kutosha inachukua speaker kubwa kuanzia watt 300 ..kwa wazee wa kurekod ipo fit hata wazee wa Chanel youtube mnaotaka kuanzisha Chanel Basi hi ndo funga kazi,sherehe ndogo ndogo inapiga mwanzo...
  8. V

    Usajili kwa biashara za mtandaoni

    Habari waheshimiwa. Ndugu yenu apa nina swali nataka kujua kuusu site za BIASHARA mtandaoni kama vile Kariakoo mall nk.nataka kujua nazo zinalipiwaa?? Na ni Kiasi gan?? Au la bidhaa inayouzwa Mana inakua tayari na lisit kutoka duka ulilonunuA na wewe kumuuzia mteja wa mtandaoni???au kumtumia...
  9. V

    Gharama za Kuanzisha Website ya Biashara 2020 (Mwongozo Rahisi)

    Mkuu mm ni mmja ambaye nataku kuwasha mitambo kinachonipasua kichwa ni he TCRA wataniacha salama au MPKA nilipie Mana n site ya BIASHARA na sio ya KUAGIZA nje Bali ni kuuza bidhaa za dukani mwangu ..na km kulipia ni Kiasi gan Mana nimeona kwenye site yao wameandika site za maudhui ndo unalipia
  10. V

    Ushauri online busness

    Habari waheshimiwa Kama kichwa Cha habari kinavyosema nataka kufungua online business ambayo nitadeal hasa na all computer na vifaa vyake km ram na disk,flat screen nk.. Na mimi nipo DSM Kariakoo na BIASHARA yangu itakua ni natuma bidhaa mikoa yote Tanzania na plan yangu ni kuwa na mawakala...
  11. V

    INAUZWA Boxer BM 150 inauzwa laki tano

    ISHAUZWA MAZEE KWA LAK 8
  12. V

    INAUZWA Boxer BM 150 inauzwa laki tano

    Habarin waheshimiwa, Nauza boxer bm 150 km inavyoonekana kwenye picha sababu aina matatzo sana labda indicator na saintmirror pia na ila ni kuwasha na kuondoka ina kadi yake original kabisa. Vilevile kwa matazo ya saint mirror na indicator tunakatiana hela umo umo na vimatatzo vingine...
  13. V

    INAUZWA Epson l805 na boxer 150

    Asante mkuu
  14. V

    INAUZWA Epson l805 na boxer 150

    Mkuu njoo pm Mana ndo nimetoka hospital nitakutumia picha
Back
Top Bottom