Mbn haya umnayasema baada ya mtu kutoka cku zote ukimjua mtu mbaya wako au hakufai kwako mtoe mapema mbn hamkumfukuza mapema kweli nyie mmekwisha kabisa
Spence lameck lakini nawaonea huruma ccm tunawaburuza au wanaccm ni wale wasioenda shule nn watumii mitandao pia tatizo lao wanaungwa mkono na watu wenye upeo mdogo
Mbona manyara mmechukua wanafunzi mkawapa kanga waende kujaza uwanja jamani cc hatuongei ccm hamna jipya mmejaza bongo kazi kukata viuno tu lakini mwaka huu kae mkao wa kula
Kawa nandi akina chenge , ngeleja, mama tibainjuka, amewambia wananchi wawapigie kura ili ashirikiane nao kwenye serikali yake nje hiyo mahakama ya mafisandi atajipeleka yeye ? Ccm hakuna lazima tubadilishe trip hii nashangaa sana mtu kupenda ambaye hajui maovu ya ccm pia kampeni zao zimenjaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.