Recent content by Verrenado

  1. V

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Ccm ni janga la Taifa nani chama cha Wapiga madili. na km co Ccm ilitakiwa tuwe na uchumi mkubwa kuliko hata Kenya
  2. V

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    huyo Lowasa ni mwizi mkubwa sana hakuna asiyejua na anatuhuma kibao. Na lazima tujiulize kwa nn anatumia gharama kubwa san kwenda ikulu?! pesa anatoa wp na nikina nani wapo nyuma yake na atarudisha vp hizo fedha zake akisha ingia ikulu? Watanzania tujiongeze tusiwe mazoba kila cku
  3. V

    Kwa hali hii vodacom watangazwe kuwa janga la taifa

    nilikimbia tigo kwa tabia km hio sasaiv nakula bata na Airtel
  4. V

    Kwa hali hii vodacom watangazwe kuwa janga la taifa

    nilikimbia tigo kwa tabia km hio sasaiv natumia Airtel nakula bata
  5. V

    Nitaficha wapi uso wangu? Rais Kikwete ameniumbua

    Mwalimu Jk Nyerere alikataa kabsa huyu jamaa kupewa dola
  6. V

    Israel haina uwezo wa kupambana na Iran kijeshi

    ni wapi uliona Israel in apigan vita peke yake. Israel bila ya msaada wa US haiwez kufua dafu
  7. V

    Company ya Samsung smartphone

    sasa unataka atumie hadi mjukuu wako?
Back
Top Bottom