Kwa ulimwengu huu ambapo Tanzania one karibu kila mwaka ni wadada. Wadada tunawashinda kuanzia darasani, na wapo kwenye private sector, wengine kwenye vitengo serikalini, wengine wajasiriamali wakubwa.. Itabidi mkaoe vijijini kwenu au wale wenye elimu ya cheti, sijui form 4. Maana pia...
Kama unachepuka na bado unawaza kumuumiza mmeo, basi ujue mchepuko hajafika levels za mumeo. Ukipata mchepuko unaemuelewa, habari za mume huzikumbuki kabisa.
Ahsante kwa hii shule, hasa hapo kwenye hizo break even points za kupata faida na swala la kama mmoja wa producers akiamua kuanzisha price wars. Watu kama nyinyi ndio mtasababisha tuendelee kuwepo JF
Nilisikilza hiyo statement ya bahati mbaya sana, nikajiuliza maswali mengi. Naunga mkono hoja kuwa mama aandikiwe speech, akifika pale azisome bila kuongeza mawazo yake binafsi kama hayo ya bahati mbaya na mipasho mingine. Anatu let down wanawake.
Ukianza na ile speech ya urefu wa kamba, SPIKA...
Na viongozi wa mikoa na wilaya walishapigwa mkwara mtu akionekano na bango kiongozi atawajibishwa. Kwahiyo kama hukusikilizwa shida zoko mkoani/ wilayani, na ukabeba bango lako hapo, utawajibiswa na uongozi wa chini kabla Rais hajaliona hilo bango. Kiongozi hataki lawama. Ndio maana huyo mama...
Juzi tu katuambia watumishi wa umma tusipeleke malalamiko kwa Rais kama tume ya maadili ya utumishi wa umma ilishatoa maamuzi kuhusu kesi zetu. Ila katiba inatuambia tuna haki ya kukata rufaa kwa Rais kama tunahisi haki haikutendek. Leo tena yanajirudia kwa wananchiwa kawaida.
Mama hataki...
Shida kubwa kwake ni kutokuwa na vision kama kiongozi. Hajui hata anasimamia kipi. Anapelekwa na upepo wa Msoga, chama kuu, praise team kigogo, wapinzani, wakosoaji wa aliyemrithisha, wasanii mazuzu.. Hakujiandaa kushika nchi.. yaani hajui hata jahazi alipeleke wapi. Hana mwelekeo, agenda...
Wameshindwa kupambana. Mgao wa umeme na maji ambao haujatokea miaka mitano iliyopita. Hatukuwa kusikia mgao wa maji kufika hadi Mbezi beach na Mikocheni. Hapo ujue hali ni tata. Kupanda kwa bei za mafuta ya kula, vifaa vya ujenzi, gesi na leo tumetangaziwa kwamba ukiwa na shs elfu 10 hutapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.