Recent content by Vendelini

  1. Vendelini

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Naomba kufahamu maana naona kuna kitu hakijakaa sawa.kama unaendesha gari kubwa lori speedi inasoma 80 p/h na kuna garindogo ist iko mbele ya lori na speed onasoma 80 p/h.je kama speed za gari zote mbili hazitaongezeka lori linaweza kuiovatek ist??
  2. Vendelini

    Wadau hamjambo naomba kujuzwa jinsi ya kupata ufunguo wa akiba unaofichwa kwenye gari aina ya alfard

    Ndiyo gari huwa ina funguo tatu kuna mmoja ambao hufichwa kwenye gari kwenye chesess huwekwa kwenye kibox chenye magnet na kugandishwa kwenye chesess
  3. Vendelini

    SoC03 Siku moja nitamwambia Rais...

    Hakika uko vizuri Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  4. Vendelini

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    spedomita inasoma vizuri na trip a na trip b zinasoma vizuri lakini klm za kutoka na gari hazisomi zimesimamia mahali moja.nini tatizo.ni alfard
  5. Vendelini

    Kutana na DTO Frank wa Mafinga ,Kamanda wa polisi anayejielewa na mwenye weledi uliotukuka

    Ni kweli hawa makamanda wanatofautiana . kuna kipindi kamanda wa jiji la Arusha alikuwa marehemu Kombe yaani mambo yalikuwa ni moto ajali za kizembe kulikuwa hakuna kila askari alitimiza waJIbu wake tena kwa wakati narushwa na faini zilipungua sana. Arusha tulimpenda sana. MUNGU AMLAZE MAHALI...
  6. Vendelini

    Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

    Pole sana kaka ni tatizo la wanandoa wengi kwa sasa hasa kuanzia mimba ya mtoto wa pili tatizo ndiyo linaanzia hapo. Lilimtokea dada yangu tiba alipatia muhimbili na sasa hali ni nzuri na ana watoto wakutosha. Ila ngarama ya matibabu ni kubwa. Nenda muhimbili
  7. Vendelini

    Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

    mtakahela, Aende muhimbili atapona ila garama ni kubwa au abadilishe mwanaume tatizo liko kwa mume.
  8. Vendelini

    Habari za asubuhi waungwana kisia huu ni mti gani?

    Msonobari huota karibu na maji mizizi yake husafiri kina kirefu kutafuta maji . hukausha maji kwe ye vyanzo vya maji
Back
Top Bottom