Hizo rangi zenu za ndani silk na weather guard nje huwa zinaingiliana na hizi primer za kampuni nyingine? mfano upake alkali primer alafu upake hizo hakuna shida?
Mkuu makadilio ya chini ya chumba master na sebule kwa eneo tambalale mpaka boma kukamilika, materials yanapatikana karibu ni kiasi gani?.Plan ya kwanza ilikua ni kujenga vyumba viwili kimoja master sebule na jiko ila kutokana na hali kubadilika nikaona nikimbie nyumba za kupanga kwa kuanza na...
Betting nilianza 2014 ila kwasasa nimepunguza kwa asilimia 70 u 80 kabisa,kimahesabu pesa nilizopata kwa kushinda tangu nianze inafika milioni 4,ila nilizopoteza zinazidi hiyo.Kiufupi addiction kama pombe,kamari,punyeto, picha za ngono,na madawa zinahitaji nguvu za maombi na Dua kwa kumaanisha...
Mimi nilifuta social media kama Instagram huwa naboreka na habari za wasanii na entertainment, miaka ya nyuma nilikua naifuatilia sana miziki,movies nk
Nimeishi huko miaka mitatu niliondoka 2017,kwa miaka hiyo niligundua haya; gharama za vyakula zipo chini ila mzunguko wa pesa ni mgumu,kule kwa mtu muajiriwa au yeyote mwenye uhakika wa kupata hata laki nane au saba kwa mwezi basi ataishi maisha ya unafuu, kiukweli nyumba nyingi zina standard...
Pamoja na kwamba tumezidiwa daraja na hawa Morocco lakini kiukweli timu ya taifa bado vingi sana vya kufanya ili kifika levo za wenzetu,timu hata kupiga pasi kumi ni mtihani,Yani pasi tatu mpira unapigwa juu unatoka au unapotea kwa wapinzani.
Nahitaji kujua utofauti wa hizi rangi ambazo ni vinyl superlux matt emulsion, na silk ambazo sio matt, hizo za kwanza ni zile za kuchanganya na mashine au ni zipi, na matumizi,
Huku maeneo ya Ulongoni Gongo la Mboto, miaka michache nyuma ilikuwa kero kubwa sana kuishi, barabara mbovu za vumbi, madaraja yote ya mto msimbazi yalikuwa yamevunjika, hilo lote ni Jimbo lake, sijajua huko tatizo linalokwamisha ni nini?
Zanzibar kazi za ujenzi zipo nyingi sana kwasababu uwekezaji mkubwa ni hoteli za kitalii,ila ukibahatika kupata vibarua ktk kampuni za wazungu angalau huwa wanawalipa tsh 15000 na fundi tsh elfu 20 hadi 25,ila ukiangukia ktk kampuni za wahindi hao pesa zao ndogo vibarua wanawalipa elfu 12 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.