Wengi humu jf tulikufahamu kwa nyuzi za aina hii,Jambo zuri kufanya toba.Lakini kama hutojali kuna mada moja uliwahi kuizungumzia huko nyuma kuhusu milango ya kuzimu hapa Tanzania,na mazindiko yaliyowekwa kwa nchi mfano mwenge,kwa faida ya watu fulani, unaweza kuturudisha darasani tena kuhusu...