Recent content by Ven26

  1. Ven26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini madini hayataki uchafu wa zinaa?

    Hizo ni imani tu ila tu zinaa za kukutana kutana na kila aina ya mtu kuna wengine ni nuksi zaidi ya nuksi, hata katika maisha ya kawaida tu
  2. Ven26

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Marafiki wasikusahaulishe shida za kwenu! Mwenzenu kujenga sio shida maana maisha kila mtu ana hesabu zake, kutokuwaambia anajenga hana kosa kabisaa. Labda hiyo ya kutowashirikisha msiba wa mama labda ni limbukeni hakutaka mjue anakotokea havifanani na yeye huko mjini, aibu zile
  3. Ven26

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Airport au airstrip, sasa mtu mmeshaelewana atakuwa anakugea kadogo katika uwekezaji aloweka, na humpangii hadi wafanyakazi, utaweza kumpangia namna ya kusafirisha mali yake?
  4. Ven26

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa aina ya mwili wangu.

    Natamani kunyamaza lakini si rahisi🤔
  5. Ven26

    JamiiForums Tanzania Msaada nimeng'atwa na nyuki Zaid ya 200 kichwani usoni na mabegani na tumbo linauma sana nimeharisha maji mara 8

    Inaweza kuwa, au isiwe tu anachanganywa na maumivu yale, ila watakuwa ni wengi maana hadi kuharisha watakuwa wamemla sana, ila wasingechoma sindano wakamuacha aondoke, angewekewa ile dawa kwenye drip ya maji
  6. Ven26

    JamiiForums Tanzania Mke wangu mjamzito, kila baada ya kula amekuwa anahisi kichefuchefu na pengine kutapika. Nifanyaje?

    Kule kwao madaktari hakuna bora jf wataalam tupo ama kwa hakika mke tutampa solution ya kudumu
  7. Ven26

    JamiiForums Tanzania Mke wangu mjamzito, kila baada ya kula amekuwa anahisi kichefuchefu na pengine kutapika. Nifanyaje?

    Mtafutie dawa za kuzuia kutapika ameze zipo za kuitwa Nosic, promethazine, vomidoxine nafikiri kati ya hizo akimeza itamsaidia.....atumie pia zile vidonge za kuongeza damu na vitamin kwake na kwa kiumbe aliyeko tumboni zinaitwa Pregnacare with omega3
  8. Ven26

    JamiiForums Tanzania Rais Samia sikubaliani nawe kuwa na Urafiki na Wakenya ambao Kutwa wanatudharau, wanatutukana na kujiona ni bora kuliko wana Jumuiya wote

    Yeye mwenyewe tu akijitafakari wakenya walivyo na dharau anaweza pewa nafasi aliyopewa Ruto kusimama bungeni kwao? Hata mi mwenyewe niache unafiki ngekuwa mkenya bora hata Erick omondi kuliko kiongozi wa malawi
  9. Ven26

    JamiiForums Tanzania Wageni waonywa kufunga biashara zao Afrika Kusini

    Kwetu Malawi tupaiteje maana maproject yoote yenye maana mtz hapewi, akionesha ana uwezo huo anachunguzwa mara boom mhujumu uchumi
  10. Ven26

    JamiiForums Tanzania KERO Muda wa kuosha mwili ndugu wote tulitolewa nje (Kituo cha Afya Mlandizi), je hii ni sawa?

    Mchele wa msibani huwa mtamu kama sio kwenu, na chizi anachekesha kama si ndugu yako, hata hili utaliona halina maana kama marehemu hakuwa ndugu yako
  11. Ven26

    JamiiForums Tanzania Wanaozuia mtandao mpaka sasa wamepata faida gani?

    Yaani nawazaga bora hata mkoloni arudi atutawale tena labda tutapata cha kujifunza waafrica! Imagine mtu yuko madarakani anajua ni binadamu na watu wake wa chini pia ni binadamu wana mapungufu yao, kwanini asikosolewe na wale anaowaongoza ili warekebishe? Wanafunga mitandao ili tu wananchi...
  12. Ven26

    JamiiForums Tanzania Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

    Kile kichwa ilikuwa ni kichwa cha mtoto kabisa kile😩
  13. Ven26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

    Kuna story zingine bana! Haya ngoja tuone...labda yule dada alikuwa dominant na jamaa aliambiwa awe submissive lakini inaeza kuwa kahawa hii
  14. Ven26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

    Ulimpata? Kama bado unatafuta ingia dating sites join zile legit ambazo baadhi ni Bumble, hinge, OK cupid, interracial cupid, mingle2, bumpy, afro introduction, weka profile yako vizuri hasa picha, andika exactly unachotafuta, weka umbali au mabara unayotaka mwenza wako atoke, maxmize distance...
  15. Ven26

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatumia mbinu gani kuchati na mchepuko wako ukiwa kitanda kimoja na mke wako?

    Mchepuko anaagwa hivi "sasa nimeingia home"
Back
Top Bottom