Recent content by Ven26

  1. Ven26

    RC Mtaka azijia juu Halmashauri kwa kukusanya ushuru kwa Wakulima ikiwa hazijamwezesha Mkulima kwa chochote

    Anawafool wajinga tu hapo ilimradi wasikie kaongea, hiyo ndo sirikali ya tz bwana
  2. Ven26

    Hivi hili roboti la Bunge lilikwenda wapi?

    Kukaribisha wageni bungeni hivi aliitwa nani huyo dada
  3. Ven26

    Tetesi zimezidi kuhusu Namba 1 na 2 kutokupatana, ukweli upoje?

    We unafikiri ni jinsi gani watz watavunjika mioyo kwa rumours zisizokuwa na ukweli wowote
  4. Ven26

    Bendera ya watawala wetu

    Inatakiwa kupepea nusu ama maana sijaelewa
  5. Ven26

    Tetesi zimezidi kuhusu Namba 1 na 2 kutokupatana, ukweli upoje?

    Namuomba Mungu isije ikawa uongo
  6. Ven26

    Je, inawezekana kumtrace mtu kupitia instagram au x/twitter ikiwa alijiandikisha kwa account fake

    Kinachoumiza zaidi ni pale serikali inapodeal na vitu vya kipuuzi badala ishughulike yale mapungufu yanayoainishwa na wananchi wake, inatumia nguvu kumteka mtu mmoja badala itumie nguvu kurekebisha vilio vya watanzania wengi ili hizo kelele za mtandaoni zisiwepo
  7. Ven26

    PostGE2025 Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa uwezo wake ni mdogo sana

    Tunaongozwa na wagonjwa wa akili
  8. Ven26

    Kampuni ya Usangu Logistics umefanya maboresho ya mfumo wa malipo ya mileage kwa madereva wa Route za Congo, Zambia

    Uvamizi mkubwa WA madereva uko upande WA congo maana wanapakia mali (kopa) yaan wako kwenye risk kubwa sana hao jamaa. Nawashauri wake za madereva hasa wanaokwenda DRC kupakia kopa muwavumilie, muwapende, muwatie moyo wanaume zenu wanapitia mengi magumu. Jana Kuna jamaa Moja wamemsaidia hapa...
  9. Ven26

    Tetesi hizi: Mama mzazi wa Spika Tulia yupo salama?

    Maandiko yalisema "jino kwa jino"
  10. Ven26

    GE2025 Dar: Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa apigwa risasi

    Mungu ibariki Tanzania nchi yangu....simama na wananchi wenzangu walio katika Giza huku wakipambania haki zao
  11. Ven26

    GE2025 Kwa tulioshuhudia chaguzi za vyama vingi toka 1995 hadi sasa Hali ya uchaguzi 2025 ni tulivu sana

    Kumbe sharti la kwanza ili uwe humo ni 1. Usiwe na akili hata kidogo ya kufikiria
  12. Ven26

    GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

    Amka kuwa kama Madagascar, kuwa kama Nepal....tusiishie kwenye keyboard tu
Back
Top Bottom