Recent content by Ven26

  1. Ven26

    JamiiForums Tanzania Moshi: Kijana wa bodaboda apoteza maisha baada kukimbizwa kugongwa na gari la Polisi akihisiwa kubeba mirungi

    Sasa mirungi nayo dawa za kulevya mpaka kuua mtu jamani kijana, nguvu kazi, mtoto wa mtu dah
  2. Ven26

    JamiiForums Tanzania Nilimpa namba kwa huruma, kumbe ana heka heka

    Na ni design kama ashavutiwa vile bado tu kutenga muda wa kumpa ili miamala ianze kuflow
  3. Ven26

    JamiiForums Tanzania Single Mother ananiwekea Vikwazo kuonana na mtoto wangu

    Yaani umeandika mambo mengi kwa kufoka! Haya mtoto bado ni mdogo anahitaji malezi ya karibu hasa ya mama, mwenzio hajasema kama anaweza kulea mtoto wa umri huo, labda ana mke ni umalaya wake ulimpeleka huko nje mtoto akapatikana analea mtoto kama biashara ya bangi vile (kwa kificho) atambeba...
  4. Ven26

    JamiiForums Tanzania Single Mother ananiwekea Vikwazo kuonana na mtoto wangu

    Basi mnafikiriaga ukiacha kumhudumia mtoto unamkomoa mama yake, kumbe unajaribu kujitenga na mtoto wako mwenyewe, haya huo ujeuri wa mama yake unakujaje bila wewe kusababisha? Mnaonaga vibanzi vya machoni pa wenzenu mnasahau maboriti yenu. Kuna story ndefu imejificha hapo upande wa pili
  5. Ven26

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Wanafurahia pale wanapotafuta mali na wake zao afu majina wanaandika ya mama zao, dada zao, inapotokea wameshindwana mwanamke anabaki kutaabika, wabinafsi sana saivi wanamuona Haika jau kwenye jamii....wapo hawa marioo wa kulelewaga anamsogeza mwanamke karibuuu, taratiiiibu anaanza kumlaghai...
  6. Ven26

    JamiiForums Tanzania RESOLVED DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Ila nikawaza wauguzi wanavokuwaga saa zingine kuwa attend wagonjwa huwa wana madharau na kutokuchukulia jambo kwa uzito kama Dr alivyoagiza mpaka unatamani umpige, acheni apigwe labda apate adabu. Muuguzi alisababishaga kifo cha ndugu yangu wakahoji hoji pale sema mi naye nlikuwa nimeshachoka...
  7. Ven26

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    Maisha ni watu endana nao mkuu usifikiri wanaokula misibani ni njaa zinawafanya kula utawaza unavyowaza kwa nafasi uliyonayo katika jamii (labda bado ni mdogo hauna familia) na unafikiri misiba inawakuta kina fulani tu! Zamu itafika kwako ndiyo utajionea
  8. Ven26

    JamiiForums Tanzania Nini mpango wa serikali kuthibiti hoja zenye kuleta mgawanyiko hasa kutoka kwa Zanzibar?

    Labda ndiyo msimamo wa serikali, kwanini mwakilishi na tena mteule aliyeteuliwa na rais sjui rais atoe kauli hizo bila uoga?
  9. Ven26

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    Labda kwenye jamii yenu ndo wana njaa za hivyo, watu wanasusiwaga kila kitu mpaka faini itolewe, nimezunguka katika jamii nyingi Tanzania likimkuta mtu wa hivyo kwenye nzengo lazima kimrambe haijalishi kawapikia nini, kwanza anaanza kususiwa hakuna wa kupika, haya jamii nyingi mfiwa haruhusiwi...
  10. Ven26

    JamiiForums Tanzania Badili mtazamo wako na mafanikio katika maisha yako yatakufuata

    Kukataa na kuvunja hizo imani kwa kuthubutu na kujiambia inawezekana kwa juhudi zote na bila kukata tamaa....ila ukianza mapambano ukakata tamaa na kurudi kule kule ayaaa ndiyo itakuwa gudubayi kwenye ramani ya maisha
  11. Ven26

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    Hata kama hana....ogopa walimwengu mkuu! Utafanya vile hata hawakuulizi wanasikilizia zamu yako ifike maana hii misiba ni kupokezana tu leo kwangu kesho kwako! Siku hiyo ndo utaorodheshewa yoote na hata kama hauna faini ndiyo utatoa ili watu washiriki kawaida msibani na wakule chakula chako, la...
  12. Ven26

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    Labda bado ni mtoto kwenye jamii/mtaa unaoishi hawakuchukulii kama mwananzengo mwenye mchango wowote kwao, hayo yafanye ukiwa mdogo kwenye jamii ila omba isifike zamu yako watu wakusanyike kwako! Siku hiyo ndo watataja tabia zako zoote na kukususia msiba wako. Imagine umefiwa na utatakiwa utoe...
  13. Ven26

    JamiiForums Tanzania Tetesi: "Kwanini watu wanapotea na hawapatikani" anayejibu hili swali sijui kama ni mzima

    Unaulizwa kwanini umeramba sukari, unamjibu na kwa kina mama juma napo wanaibiwaga sukari!
  14. Ven26

    JamiiForums Tanzania Tetesi: "Kwanini watu wanapotea na hawapatikani" anayejibu hili swali sijui kama ni mzima

    Issue ya Europe na swali la Farhia kwa huyo jamaa unaona vina uhusiano?
  15. Ven26

    JamiiForums Tanzania Zanzibar raha, Mchango wa Harusi ni Elfu tano tu, Bara sirudi

    Napenda maisha simple namna hiyo, harusi ni jambo la heri, linatakiwa kushehekewa bila kero, sio mtu anaoa/kuolewa anataka mambo makuuubwa ya kumshinda anaanza kuhangaisha watu na mimeseji ya mchango kila siku utafikiri anakudai, umekaa tu zako unapangilia mambo yako ghafla unajikuta kwenye...
Back
Top Bottom