Kinachoumiza zaidi ni pale serikali inapodeal na vitu vya kipuuzi badala ishughulike yale mapungufu yanayoainishwa na wananchi wake, inatumia nguvu kumteka mtu mmoja badala itumie nguvu kurekebisha vilio vya watanzania wengi ili hizo kelele za mtandaoni zisiwepo
Uvamizi mkubwa WA madereva uko upande WA congo maana wanapakia mali (kopa) yaan wako kwenye risk kubwa sana hao jamaa. Nawashauri wake za madereva hasa wanaokwenda DRC kupakia kopa muwavumilie, muwapende, muwatie moyo wanaume zenu wanapitia mengi magumu. Jana Kuna jamaa Moja wamemsaidia hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.