Marafiki wasikusahaulishe shida za kwenu! Mwenzenu kujenga sio shida maana maisha kila mtu ana hesabu zake, kutokuwaambia anajenga hana kosa kabisaa. Labda hiyo ya kutowashirikisha msiba wa mama labda ni limbukeni hakutaka mjue anakotokea havifanani na yeye huko mjini, aibu zile
Airport au airstrip, sasa mtu mmeshaelewana atakuwa anakugea kadogo katika uwekezaji aloweka, na humpangii hadi wafanyakazi, utaweza kumpangia namna ya kusafirisha mali yake?
Inaweza kuwa, au isiwe tu anachanganywa na maumivu yale, ila watakuwa ni wengi maana hadi kuharisha watakuwa wamemla sana, ila wasingechoma sindano wakamuacha aondoke, angewekewa ile dawa kwenye drip ya maji
Mtafutie dawa za kuzuia kutapika ameze zipo za kuitwa Nosic, promethazine, vomidoxine nafikiri kati ya hizo akimeza itamsaidia.....atumie pia zile vidonge za kuongeza damu na vitamin kwake na kwa kiumbe aliyeko tumboni zinaitwa Pregnacare with omega3
Yeye mwenyewe tu akijitafakari wakenya walivyo na dharau anaweza pewa nafasi aliyopewa Ruto kusimama bungeni kwao? Hata mi mwenyewe niache unafiki ngekuwa mkenya bora hata Erick omondi kuliko kiongozi wa malawi
Yaani nawazaga bora hata mkoloni arudi atutawale tena labda tutapata cha kujifunza waafrica! Imagine mtu yuko madarakani anajua ni binadamu na watu wake wa chini pia ni binadamu wana mapungufu yao, kwanini asikosolewe na wale anaowaongoza ili warekebishe? Wanafunga mitandao ili tu wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.