Kwan wamakonde nao si waislam? Hata hao wazee ambao mliwahoji kwenye icho kitabu wote ni waislamu... Naona unajaribu sana kuficha ukwel uo kwa kusema eti wamakonde, Sema wamakonde waislamu... Ingawa hii nayo si kwel
Ukisikiliza mahojiano na Shekhee Mahsin atasikia anasema kwa mdomo wake siku ya...
Mtoa maada kuhusu suala la mkurugenzi kujichanganya kwa taarifa mbalimbali hiyo ni kwel na ilo laweza kumtokea yeyote "rejea mkurugenzi yule wa kula mkoa wa mara ambaye alishindwa kutaja hata jina lake".
Suala la 1.5b hiyo ni kweli ni malengo ya halmashauri kama ambavyo ni malengo ambayo...
Mkuu sultani aliuza maeneo mengi sana! Pwani yote ilikuwa yake! Kijiji cha mzizima ambacho ndo chanzo cha dar sasa eneo lote la posta ya zaman kuanzia eneo la kanisa la lutheran had pale kanisa la st joseph.. Hivi unajua mapambano ya kwanza ya abushiri na wajerumani yalifanyika pale magogoni...
Ukisoma historia vizur utagundua sehemu kubwa ya pwani ilikuwa chini ya sultan hadi mwaka 1963 kabla ya uhuru wa kenya serikali ya uingereza ilikuwa inalipa kodi serikali ya sultan kwa ajili ya eneo la mombasa... Sultan aliuza maeneo mengi sana hasa kwa upande wa tanganyika kwa ujerumani kuanzia...
Kijana ukisoma historia ya dar-es-salaam vizuri hata eneo la kariakoo lilikuwa shamba la sultan kabla ya kuliuza kwa bwana wissman ambaye baadye likachukuliwa na serikali ya ujeruman kwa ajili ya kujenga makazi ya watu weusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.