Wakuu habari za jioni naomba niwashilikishe tatizo langu na mwenye uelewa anaweza nipa ushauri.
Miez kama sita nyuma nilipatwa na kauvimbe sehemu yachini ya shingo yani kwenye shina la shingo.upande wakushoto
Kunasiku nilihisi kichomi kwenye moyo na nyuma ya bega pia nilihisi kichomi.
Nikaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.