okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Hello guys,
Hii research nimeifanya kwa mda mrefu, sample imetoka mitandaoni, na kwenye jamii ninayoishi pia...
Mke wa mwisho wa jirani yetu ametoka kwenye familia maskini, na jirani yetu ni MTU wa makamo lyk 55 years old na huyo mke aliemuoa ni kama 23 years old sasa kuna mapenzi hapo? wadada wengi wanaoolewa na vibabu sijui wanaishije kwenye ndoa, ingawa wanakaa miaka mingi kidogo na hao vibabu kwenye ndoa.
Wadada wengi wako tayari kufeki mapenzi (ku-pretend kuwa anakupenda) ili umuoe, hii hutokea akishagundua una nyumba au gari, cheo, pesa, etc hata kama ulishawahi kumtongoza hlf akakukataa. wanaume wengi hapa watakuwa shuhuda..
Men of influence kama Mzee Mengi, Diamond platnumz, na rais donald trump...wote wamependewa hela na wake zao. Na sie wanaume tujitahidi kuchagua wanawake wa maana LA sivyo tutaishia pabaya
Hii research nimeifanya kwa mda mrefu, sample imetoka mitandaoni, na kwenye jamii ninayoishi pia...
Mke wa mwisho wa jirani yetu ametoka kwenye familia maskini, na jirani yetu ni MTU wa makamo lyk 55 years old na huyo mke aliemuoa ni kama 23 years old sasa kuna mapenzi hapo? wadada wengi wanaoolewa na vibabu sijui wanaishije kwenye ndoa, ingawa wanakaa miaka mingi kidogo na hao vibabu kwenye ndoa.
Wadada wengi wako tayari kufeki mapenzi (ku-pretend kuwa anakupenda) ili umuoe, hii hutokea akishagundua una nyumba au gari, cheo, pesa, etc hata kama ulishawahi kumtongoza hlf akakukataa. wanaume wengi hapa watakuwa shuhuda..
Men of influence kama Mzee Mengi, Diamond platnumz, na rais donald trump...wote wamependewa hela na wake zao. Na sie wanaume tujitahidi kuchagua wanawake wa maana LA sivyo tutaishia pabaya