Wanawake, nani kawafundisha kudanga?

Wanawake, nani kawafundisha kudanga?

Tatizo la wadangaji ni kuwa unapomuonyesha kuwa unalengo la kuoa, au umempenda kweli . Yeye ndio anaona ni mwanya wa kukukamua wallet yako.
Sasa sijui wanashindwa kutofautisha mtu anaetaka sex tu na anaetaka ndoa...?

Nilikuwa na wa hivyo, nilitaka kumuoa lakin everytime nikumuonyesha kumpenda napigwa mabomu ya vietnam. Ilibidi nimuweke pemben na nikampa makav yake kwa tabia yake mbovu.
Hili neno linapunguza tu makali ila mdangaji ni malaya kwa lugha nyepesi... sasa ww unaweza kumuoa malaya?
 
Japo dawa chungu lakini nimeipokea. Yes malaya lakin wanatofautiana style ya uuzaji.
Hili neno linapunguza tu makali ila mdangaji ni malaya kwa lugha nyepesi... sasa ww unaweza kumuoa malaya?
 
Now it's too much yaani unataka mchumba kweli unampata mtoto anatoka sehemu nzuri kwao wanajiweza baba ake ni kigogo au demu anajiweza anafanya kazi yake sehemu lakini bado demu atataka akudange.

Nani huyo aliyewaruhusu huu upumbavu kwamba kawadangeni wanaume? Hiyo style yenu me sikubali; sio kweli tena hamuoni hata aibu.

Au nasema uwongo wanaume wenzangu? Ni mimi peke yangu ndo nawapata wanaonigeuza mradi?

Siku hizi mpaka tunawaogopa wanawake kwa sababu unamtongoza hata siku mbili hazipiti kashaanza kupanga mashambulizi ya kukudanga. Mnasababisha mpaka wale wanawake wasio na hio tabia kukosa wanaume kwa sababu imefika muda wote tunawachukulia mpo hivyo.

Mnakera sana, ina maana hamuoni kama maisha magumu siku hizi?
Bro kabla haujajipanga kuoa use " eat and run system " wanadanga hadi kero unadangwa kiasi kinachozidi hata matumizi yako ya wiki ....kwa hali hii watazaa sana na kubaki makwao
 
Ndugu Detective J, nani aliyekudanganya kwamba, "vampire anaweza kurudi na kuwa mtu wa kawaida, kisa umemuogesha na kumvisha nguo mpya?".

Naomba utambue kuwa, hawa viumbe wenzetu, uwa si rahisi kubadilika kitabia, hadi pale yanapowakuta makubwa ya dunia...ndipo akili zao uwa zinawakaa sawa, na wengi wao uwa wanajisahau kwamba wana expire date....jambo linalowapelekea wakija kushtuka tayari washakuwa "awafahi tena kwa matumizi ya binadamu- expired". So usije ukakutana na kahaba/mdangaji then ukajidanganya ety kuoa. Ukijiloga tu kufanya hivyo, jua fika kwamba umetengeneza ofisi ya udangaji/ukahaba nyumbani kwako....hivyo umewarasishia wenzako kujua anapopatikana #cha wote wao, so kuwa tayari kwa gonjwa la moyo na kuimbiwa palapanda muda si mrefu.

Be care ndugu yangu, kwa hali ilivyo sasa ni bora ukutane na teja wa ilala...unaweza kumdanganya hata kwa biskuti. Ila sio hawa viumbe.......ni visanga vya kutisha.
Tatizo la wadangaji ni kuwa unapomuonyesha kuwa unalengo la kuoa, au umempenda kweli . Yeye ndio anaona ni mwanya wa kukukamua wallet yako.
Sasa sijui wanashindwa kutofautisha mtu anaetaka sex tu na anaetaka ndoa...?

Nilikuwa na wa hivyo, nilitaka kumuoa lakin everytime nikumuonyesha kumpenda napigwa mabomu ya vietnam. Ilibidi nimuweke pemben na nikampa makav yake kwa tabia yake mbovu.
 
Tatizo la wadangaji ni kuwa unapomuonyesha kuwa unalengo la kuoa, au umempenda kweli . Yeye ndio anaona ni mwanya wa kukukamua wallet yako.
Sasa sijui wanashindwa kutofautisha mtu anaetaka sex tu na anaetaka ndoa...?

Nilikuwa na wa hivyo, nilitaka kumuoa lakin everytime nikumuonyesha kumpenda napigwa mabomu ya vietnam. Ilibidi nimuweke pemben na nikampa makav yake kwa tabia yake mbovu.
Huwa hawaolewi wanakuwa wameathirika kisaikolojia;ukilazimisha kuoa tu jiandae kwa msongo wa mawazo.
 
Mwanaume usilie vitu vidogo vidogo tengeneza mazingira manzi akupende kwa dhati utaletewa kila kitu mpaka ushangae. Sie maisha ya kuigiza ndo yanfanya mahusiano yawe mradi. Over
 
unahangaika nao wa nn mkuu, wkt kilo buku 3. Nenda mabuchani km shida ni nyama tu
 
Back
Top Bottom