Ukweli kabsa mum waliamua kutojiunga na udahili wa pamoja kwa sababu wanahitaji watu walioridhia kusoma na kufuata masharti ya sehemu yenyewe kwanza nature ya chuo kwa mtu ambaye hajazoea maisha ya kuchungwa ataishia getini tu arudi kwao.........lkn wakishawachagua lzm majina yaende tcu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.