Habari wadau. Nina printer yangu, epson L3210, Nozzle check ya printer Iko safi, nimefanya power cleaning mara kadhaa Ila Bado ukiprint kuna mistari midogo inaacha. Mistari myeupe ambayo inakata kwenye maandishi. Sio coloured lines, unprinted lines.
Habari zenu wadau. Nahitaji ram ddr2, 4GB kwa ajili ya laptop, HP 6930p. Kama upo mwanza ni vema zaidi, Ila hata maeneo mengine. Au kama unaweza kushauri karibu
Habari zenu wataalamu. Naomba uzoefu jinsi ya kutuma video ndefu facebook za hata 1 hour, 30 minutes au zaidi. Maana nimetumia fb lite app ikapeleka 30s nikatumia fb web ikapeleka 1 minute. Ila pia quality inapotea Sana. Wataalamu mtupe maujuzi. Shukrani
Ni kwa sababu siku hizi watu mnaamini Sana uongo kuliko ukweli kiasi hata mkiambiwa ukweli hamuukubali especially kama unahusu mlengo usioufuatilia.
Siku zote ujue kwamba katika Yale unayojua yapo mengine usiyojua, ndo hayo sasa. Endelea kujifunza
Ambacho haujui Ni kwamba hata hayo maradhi na ukosefu wa pesa yapo yanayosababisha na uchawi kwa asilimia kadhaa, naamini pia ktk science.
Zipo cases nyingi mpaka za Benki kupotelewa na fedha kimiujiza. Na Kuna Benki moja Dar walikuwa wanapigwa pesa na mama mmoja mchawi amesimama mlangoni Ila...
Naona wataalamu mko vizuri, Kuna wataalamu wengine wanashauri matumizi ya window 10 kwa 2GB Ram sio sawa, Ila kwa window 7 Ni sahihi. Hili nalo limekaaje wadau. Maana PC yangu Ni 2GB Ram au naweza kuiboost zaidi
Habari zenu wataalamu. Nimekuwa mtumiaji wa window 10 kwa muda mrefu sasa, changamoto ya kula bando sana imekuwa common. Labda wataalamu tushee mawazo kwa watumiaji wa version nyinginezo, 7, 8, 11 mambo yakoje. Mara nyingi ninapochek kwenye task manager anayekula bando langu Ni "system" labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.