Hongera kwa kutoka kimaisha, huyu mtu achana nae na maisha yake, fanya yako. Labda kama huna la kufanya kwa vile umeshatoka na sasa kazi ni moja kufuatilia watu ambao hawajatoka kimaisha.
Rwanda miaka saba na mambo yao safi, vp Marekani ni miaka mingapi na mambo yao yakoje? Tupe hoja sio tubadili kwakuwa nchi flani ina utaratibu huo. Miaka saba ni michache kwa kiongozi anayependa demokrasia, awapae watu uhuru kutoa maoni yao hata kama ni kumkosoa.
Aliyeteuliwa amekubali? Huyu Mama ni mmoja wa wagombea urais waliokuwa na hoja nzuri mno na alikiwakilisha chama chake vema. Nasubiri kuona anaenda kuapa kuwa mkuu wa mkoa ili niendelee kushangaa nguvu ya tumbo
Awamu hii inaweza ikatoa elimu kwa matabaka lakini kuna funzo (elimu) inatolewa kwa usawa na kwa kila mmoja; mwanamke au mwanaume, mwanafunzi, mtumishi au mkulima, kijana au mzee, wote wote. sisi wadanganyika linapokuja suala la kutumia nguvu ya kura tunachukulia poa hata kufikia kugawa kura kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.