Recent content by Vatcan

  1. V

    Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

    Tumsifu Yesu Kristu? Milele amina,hizo ni hisia zako lakini dada yangu haujafanya Hekima hata kidogo, kwanza haujatueleza kama mlishakaa mkalizungumza hilo swala pamoja na mumuwe, kwanza mmefunga Ndoa ya kanisani? hilo tatizo lipo kwa wanaume wengi sio mumewe tu, ni jambo ambalo mngetafuta...
  2. V

    Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

    nipo naangalia hapa.sijui kwann ccm wanataka kupoteza amani iliyopo. Nawashangaa hata vjana wa ccm na akili zao wamepitwa hadi na huyu mzee.
  3. V

    kiwanja kinauzwa kibaha kongowe.

    kama huko mbali hvo 5ml je mbezi kimara itakuwa ngapi? Kuwa realistic man, mt 15 kwa 15, n kwa matmz gan?
  4. V

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    Ndugu zangu habari za jioni? Naombeni dawa ya kutibu miguu yangu inapelekea hadi kiuno kuuma na mwili kuchoka, takribani miaka kumi sasa, nimeenda kila hospital bila mafanikio. Mzizi Mkavu na wenye uzoefu nisaidieni.
  5. V

    Vipele sehemu za siri

    atapona tu ajtahd kupambana na dawa.
Back
Top Bottom