Tumsifu Yesu Kristu? Milele amina,hizo ni hisia zako lakini dada yangu haujafanya Hekima hata kidogo, kwanza haujatueleza kama mlishakaa mkalizungumza hilo swala pamoja na mumuwe, kwanza mmefunga Ndoa ya kanisani? hilo tatizo lipo kwa wanaume wengi sio mumewe tu, ni jambo ambalo mngetafuta...
Ndugu zangu habari za jioni? Naombeni dawa ya kutibu miguu yangu inapelekea hadi kiuno kuuma na mwili kuchoka, takribani miaka kumi sasa, nimeenda kila hospital bila mafanikio. Mzizi Mkavu na wenye uzoefu nisaidieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.