Recent content by varency

  1. varency

    Naomba kufahamu hospital ya macho inayotibu vizuri kwa gharama nafuu ukiachana na CCBRT

    Kaka hapo Dr Agarwal wapo vizuri ndiyo sikatai ila mwambie jamaa ajichange bei yao sio ya kitoto yei zao zipo juu kichizi yani
  2. varency

    Macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali

    Kila hospital ninayoenda wanan jaribu kwanza lakn hamna hata lenz moja inayonisaidia
  3. varency

    Macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali

    Umri wangu miaka 24 pressure ya macho nimepima nipo sawa kisukari sina wameniambia upungufu wa vitamini tu natumia vidonge vya vitamin mwaka wa 3 sasa lakini hamna maendeleo ndugu
  4. varency

    Macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali

    Wapendwa kwa moyo mkunjufu naombeni mnisaidie kama kuna mtu ameshawahi kusumbuliwa na tatizo la macho halafu akapona naomba anisaidie jamani macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali hata TV kuangalia hadi nisogelee, simu nayo kuangalia napata tabu naweza kupishana na mtu nnayemjua...
  5. varency

    Nimepoteza hamu ya kushiriki tendo

    Naomba msaada wanazengo nimepoteza hamu ya kushiriki tendo ghafla yani demu wangu anakuja geto mara 4 mfululizo lakini sina hamu kabisa yani ananifanyia kila kitu michezo yote yani mautundu yote yaani lakini chuma inagoma kusimama nini shida ndugu zangu...?
  6. varency

    Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

    Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv...
  7. varency

    Nasumbuliwa na tatizo za uoni hafifu sugu

    Ndiyo kaka naona kama ivo
  8. varency

    Nasumbuliwa na tatizo za uoni hafifu sugu

    Hapo zamani nilikuwa na sumbuliwa na maumivu makali sana ya kichwa
  9. varency

    Nasumbuliwa na tatizo za uoni hafifu sugu

    Umri wangu miaka 24 mkuu
  10. varency

    Tochi ni tochi tu jamani

    Neno moja kwa mzee tafadhali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
  11. varency

    Simba Sc kwenye ubora wao

    .
  12. varency

    Senegal hawajatutoa kihalali kabisa yani

    .
  13. varency

    Nasumbuliwa na tatizo za uoni hafifu sugu

    Kila miwani wanayo nijaribu wakini wekea vioo vile sioni
  14. varency

    Nasumbuliwa na tatizo za uoni hafifu sugu

    habari zenu wakuu natumaini wote wazima humu ndani. ndugu yenu nimekuja kuomba msaada wa tiba au ushauli kwa yeyote mwenye uelewa wa tatizo langu maana najua humu kuna watalaamu wa mambo ya afya. Mimi nasumbuliwa na tatizo la macho lililo nianza tangu mwaka 2017 la kupungukiwa na uwezo wa...
Back
Top Bottom