Recent content by vannydaddy

  1. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Ndo kwanza tunaingia kwenye swala la uhakiki wa vyeti.. Sijui nalo laisha lini?? Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
  2. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Nimeyaona majina hayo.. Na hiyo image nimeichukua mwenyewe.. Kicha kinasomeka hivi, MAJINA YA WALIMU NA WASIOKUWA WALIMU WALIOKUBALIWA KUHAMA NJE YA MKOA, sasa kinachosubiriwa ni kupitishwa na TAMISEMI..
  3. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Panaeza kuwa na ukweli kwamba mkoa wa Kagera umetuma majina hayo 92.. Kwani hayo ni matakwa ya Katibu Tawala wa mkoa husika.. Tatizo mtoa mada hakufafanua vizur.. Watu walishindwa kujua hayo majina yametoka tamisemi au ndiyo yaliyopelekwa TAMISEMI, ki msingi ambae kafika kwenye ofisi za...
  4. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] buhanda umenichekesha kwel.. Mm nilishataka kuanza kufanya vitu hizo nikashtuka, tena watu wanatamanisha kinoma.. Cha msingi ni kuwa na subira.. Mwisho wa siku tutasahau kama kila siku tulikua tunachungulia New updates humu na TAMISEMI..
  5. vannydaddy

    Tume ya vyuo vikuu (TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

    Ukisoma hapa utaelewa tuuu.. Ukiwa na EEE tafuta chuo kariakoo..
  6. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Sio kwel.. Swala la kuhamisha watumishi halisubiri ajira mpya, Ni mpaka uhakiki wa watumishi hewa ukamilike.. Sio kwel.. Swala la kuhamisha watumishi halisubiri ajira mpya, Ni mpaka uhakiki wa watumishi hewa ukamilike..
  7. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Baada ya hapo wanasubir mkasi wa TAMISEMI
  8. vannydaddy

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Hiyo kitu ni kweli.. But ni wale wa mkoa wa Dodoma ambao majina yao yamepitishwa kwa AFISA TAWALA WA MKOA, hilo tangazo lipo na mm nililiona..
  9. vannydaddy

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Dodoma, Mpwapwa.. Nije Mwanza..
  10. vannydaddy

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Msaada plz.. Natafuta majina but sipati Link yake.. Nimejarib TAMISEMI na ELIMU but cjayaona..
  11. vannydaddy

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    Majina yametoka.. But najarb kutafuta siyaon.. MSAADA TAFADHARI
  12. vannydaddy

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Mpwapwa Idara ya secondary nije Mwanza.. 0782837037
  13. vannydaddy

    Hawa walihama vyama na tunawaita makamanda. Nini hasa tafsiri ya Neno USALITI?

    Tatizo Zitto alifungua kesh ya kupinga kujadiliwa kwa hatma ya uanachama wakat anaijua vizur katiba ya chama..
Back
Top Bottom