Binafsi walinikwaza sana kunikata pesa mara mbili zaidi ya niliyosongesha. Alafu kunirudishia ndio imekuwa story hadi leo. Kila nikiwapigia simu ni sound tu. Oohooo tumeshalifikisha idara husika wanalifanyia kazi. Sijui pesa walipeleka kwenye kampeni za ccm?
Kumbe ndio maana Magu na wana CCM wenzie hawana furaha. Watu walifunga kuombea Uchaguzi. Hii kitu haitapita bure, kwa huyu MUNGU tunayemlilia kila siku. Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.