Recent content by vanini

  1. V

    Mbunge Godwin Kunambi amvaa Halima Mdee bungeni

    Kweli kabisa, upo sahihi, hakuna wa kibisha
  2. V

    Mbunge Godwin Kunambi amvaa Halima Mdee bungeni

    Wote ni Wabunge wa viti maalum hadi spika kwa hisani ya Mwendazake
  3. V

    Orodha ya Wakuu wa Wilaya ambao wako kwenye hati hati ya utenguzi

    Sasa huyo Kenani Kihongosi wa Arusha ana shida gani?
  4. V

    Niliwahi kusema, CCM wanapenda namba lakini hawajui hesabu

    Wanapata wapi nguvu ya kuja kupingana na ukweli?
  5. V

    GE2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

    Sasa ndio nimeanza kuelewa kwanini Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa chama. Mapandikizi ndani ya Upinzani ni mengi mno.
  6. V

    Najuta kuipigania CHADEMA na upinzani Tanzania

    Sasa ndio nimeanza kuelewa kwanini Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa chama. Mapandikizi ndani ya Upinzani ni mengi mno.
  7. V

    Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

    Kuna Mkurugenzi ambaye sio Mbogamboga?
  8. V

    Baada ya spana nzito kutoka kwa Lissu, vitambulisho vya wamachinga kuwekwa picha

    Sasa kama yanajulika miaka yote. Mlikuwa wapi kuyatekeleza?
  9. V

    Kibiashara, Vodacom kupitia M-Pesa wamejiua bila kujua, Songesha imewapotezea wateja

    Binafsi walinikwaza sana kunikata pesa mara mbili zaidi ya niliyosongesha. Alafu kunirudishia ndio imekuwa story hadi leo. Kila nikiwapigia simu ni sound tu. Oohooo tumeshalifikisha idara husika wanalifanyia kazi. Sijui pesa walipeleka kwenye kampeni za ccm?
  10. V

    Njooni tukumbuke nyakati ngumu tulizowahi pitia

    Poleni sana sana ndugu zangu. Maisha ya Bongo wengi tumekuwa kabda ya umri.
  11. V

    Njooni tukumbuke nyakati ngumu tulizowahi pitia

    Daaah!! Nimepita kwenye changamoto, lakini zako kiboko. Pole sana.
  12. V

    GE2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

    Kumbe ndio maana Magu na wana CCM wenzie hawana furaha. Watu walifunga kuombea Uchaguzi. Hii kitu haitapita bure, kwa huyu MUNGU tunayemlilia kila siku. Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu.
Back
Top Bottom