Mimi sio mwanasheria mkuu, na pia sina watoto nje ya ndoa. Ndani ya ndoa niko na vijana 2, mmoja yuko na miaka 7 na mdogo anakimbilia 4. Dini zetu pia zinatufunga kuwa na mke mmoja ( though nimeshachepuka mara kadhaa).
Kwa swali lako, kuna issue za dini, mila zenu na makabila yenu zinaweza...
😄😄😄. Thanks mkuu. Kuandika tu jina la wife kwenye uwanja/nyumba? Besides, she is my wife, not yours. Ninachokigundua kwa kusoma baadhi ya responses humu ni kwamba I married the rarest kind of breeds. Itabidi nianze kumuangalia kwa jicho la kipekee, maana ni kama I've been taking her for granted.
Mkuu, japo ni uzi wa siku nyingi kidogo, but will try to answer you shortly. Niko kwa ndoa, mwaka huu May tunafunga 10 years. Ukijumlisha na 4+ years ya uchumba, ni almost 15 years ya mahusiano. Ndani ya muda wote huo, hajanipa sababu ya KUTOKUMUAMINI. Haingii kwenye kundi la pisi kali zenu...
I'm a man. Pastor aliyetupa mafundisho ya ndoa 10 years ago alisema, ni afadhali kuvunja uchumba kuliko kuvunja ndoa. Japo utalaumiwa, lakini kwa upande mwingine unamsaidia sana mwanaume mwenzetu. Imagine miaka ambayo angeteseka....
Njia rahisi but effective ninayoikubali ni kumvizia afanye...
Dah! Pamoja na nia yako njema ya kutaka kusaidia watoto wenye uhitaji maalumu, lakini pana walakini kidogo. Unasema kimeanzishwa majuzi tu, na leo umeshafloat, je ulikianzisha kwa mhemuko? Toka kukianzisha mpaka sasa ni akina nani walokupa support? Wakati unakianzisha uliwaza picha ya kituo...
Masahihisho kidogo. Waliozuiwa kwenda America sio watu weusi, ni wahamiaji haramu ukijumlisha na weupe wengine kutokea pande zote za dunia. Waliokatiwa misaada sio Africa tu, USAID iko Asia, Latin America, Africa etc. Mambo ya NWO ni next level kwako
Ingawa primary tulimaliza 56, kulikuwa na wenzangu watano tu tuliokuwa karibu na mmoja tu kama rafiki. Mtaani nimekulia kijijini, free range, lakini nilikuwa na marafiki wachache, hawazidi wanne. Point yangu kubwa, mtoto hahitaji watoto wengi kufurahia utoto wake, maana hata kati ya hao wengi...
Uzuri, I know that what I'm doing is good for my kids. Nilijaribu kukuonyesha the positives of EM, but you seem a die hard fan of your own theories. Anyway, the beautiful thing about our world is our diversity. Tukubaliane tu kuwa sumu kwako inaweza kuwa dawa kwa mwingine.
Niko na vijana 2, mmoja anaturn 7 years this February na yuko STD 3, na mdogo wake ana miaka 4, yuko kindergarten. Wanasoma EMS. Sababu zangu za kuwapeleka EM
1. Mazingira ya shule. Kabla ya kuwapeleka shule tuliitembelea kujiridhisha na mazingira. Wana mazingira safi.
2. Idadi ya wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.