Recent content by VANE

  1. V

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    miundo mbinu ya kujisomea ni nzur ushindwe ww, chakula c gharama ukiona cafeteria znazngua kuna wajasi a.k.a mama ntilie . ila kama umechaguliwa info o school of business studies and economics ukirukaruka tu jiandae kuomba chuo upya TCU. karibu udom ndugu
  2. V

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    vp kuhusu economics haiko marketable
  3. V

    Kama hujawahi kupata 'supplementary'...

    sup zingine zinatengenezwa so c kila MTU apataye sup ni kilaza. daty sup mda mwngne inakukomaza ki akili na in boost performance next semester coz inafanya uwe makini
  4. V

    Mama wa mchumba tarajiwa nimeambiwa ni mchawi

    hahaha í-½í¸€í-½í¸€í-½í¸€
  5. V

    Result out CNMS - UDOM

    kwan udom shule ya secondary
  6. V

    Nastahili tuzo kwa jinsi ninavyowakwepa wanafunzi wa kike

    hongera kk... mana kujizuiua imekua vgumu jinsi watoto wa kike wanavyojirahsisha mashulen, juz kat tu ckukuu ya idd tulimwona mwalimu wa field akitanua na mwanafunz wake pande za ufukwen huko ununio beach
Back
Top Bottom