miundo mbinu ya kujisomea ni nzur ushindwe ww, chakula c gharama ukiona cafeteria znazngua kuna wajasi a.k.a mama ntilie . ila kama umechaguliwa info o school of business studies and economics ukirukaruka tu jiandae kuomba chuo upya TCU. karibu udom ndugu
sup zingine zinatengenezwa so c kila MTU apataye sup ni kilaza. daty sup mda mwngne inakukomaza ki akili na in boost performance next semester coz inafanya uwe makini
hongera kk... mana kujizuiua imekua vgumu jinsi watoto wa kike wanavyojirahsisha mashulen, juz kat tu ckukuu ya idd tulimwona mwalimu wa field akitanua na mwanafunz wake pande za ufukwen huko ununio beach
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.