Kumekuwa na dhana kwamba unapokuwa kwenye mahusiano na kukawa na ubinafsi katika kushikiana simu basi inaaminika mmja wapo ana kuwa anachepuka je ni kwel dondosha comments chini
Kati ya vitu vigumu ambavyo vimekuwa vinawasumbua vijana wengi sikuhizi ni pale anapokuwa ana mapenzi na mtu ambaye kiukwel yeye anampenda kutokana na mazingira labda waliokutana au vitu walivyofanya pamoja lakni mwenzake anakuwa hampendi kabsa na kuna vitu baaadhi anakuwa anafanya ili tu...
wanaume wengi wanatatizo kama la rafiki yetu hapa sema wanaogopa kupanda ma jukwaa na kusema ukweli nipende kumpongeza rafiki ang kwa kujitokeza kueleza tatizo lake nipende kukushauri ufanye zoezi linaloitwa kegel ilikuimarisha misuli yako pia ziamini hizo dawa lakn ziwe kampuni linaloeleweka...
Unapoambiwa kitu na watu kiweke kwenye tafakari zako pia pale mkiachana watoto utawajengea mazingira gan wew chakufanya tafta sehemu nenda upate pumnziko la akili kwa mda kama kwel anakupenda atakutafta kama akupendi hatokutafta hicho ndo kipimo kidgo ##unae mpenda nae anawake pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.