Me ni kijana nina mpenzi wangu tuko katika mahusiano miaka minne sasa hapa katkat alisumbuliwa sana na kifua lakin hakuwa anatkwa na makohoz,hospital walikua wanampa dawa za kulainisha hadi juzi(Jpil) kifua kikalainika,jana tukaenda hospital akapiwa TB leo tumefwata majib ni kweli anao...
Mimi...
Ninapokua nafanya mapenz na baadh ya wacchana nashindwa kuenda zaid ya mbil lakini kuna hao wawili nikiwa nao on bed naenda mpaka 6 xometimes nakuwa na hamu yakuendlea ila wanakataa wanadai wamechoka...nini tatizo mandugu..
Me ni kijana wa miaka 21 niko na mpenzi wang,pia nakaa na babu na bibi yangu katika hali ya kustaajabisha jana demu wang kaja hom kabla hata sijamuona babu kamtimua...
Mpenz wang amekacrka xana na anasema hatokuja tena hom na hataki tukutane guest wala wapi...naombeni uxhauri wenu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.