Yaaan izooo hela wanakuambia wazaliwe watoto 12769 alafu pindi tuu wazaliwapo waanze kufanya matumizi ya kila mmojawapo Tsh. Laki na nusu kwaujumla wao wataishi miaka 89 na haziishi zitabakia Tsh. 35647880909879899873577777
Kwahiyo mh. Waziri yaaan nimepata mbaazi gunia 12 unaniambia nile nitaweza kweli kumaliza hizi mbaaaz bila msaada wenu serikali!!!!? Aya nakula mamake asubh mchana na jion kwan si zangu,,, jaman anaetaka mbaaaz bureeeeee nimgaie [emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]
Tena naomba wangrfuta hata kesho asubuhi mamaeeee ili wajue sio tuuu vyama ndio vinaipinga sirikali yaoooo waje waone wanakopingiwa maaana wanajua kama vyama vya upinzanai ndio vinapinga serikal hiii,,,, god bless magufuli afute vyama vya upinzan usiku wa leo
Wewe mwenyewe mwandishi inawezekana ratiba zakoooo ovyooooo kabisa lakini unakuja kumumhofia mtu hata ajawahi kukufikilia kuwa na wewe upo kwa nchi yake,
Kumbe kama ni ivooo kina Roma wale walikuwa midebwedo aseee,,, maana huyu jamaaa kakomaa nao utasema anataka awe rais!!!!? Siangewalegezea kidogo tuu wakamwachia then akaja kukichafua kitaaa na kumwaga mambo yote hadharan kwamaana hata kama wakimtundulisu freshi tuu tunakuwa tushajua ukweli
Maadhimisho ya muungano mwaka huu hayanaga mkoa maalumu yatafanyika mikoa yote kwa kuhudhulia kufanya usafi pamoja na jeshi la wananchi ili kutengeneza mahusiano mazur na jeshi letu
Watatokea watu kuwatisha pindi mtakapojaribu kufanya maanfamano ya amani na kutafuta haki,, nawaasa msikatee tamaa na wala msihofie chochote kwa maana hakuna haki inayokuja kwa kuombwa kirahisi rahisi tyuuuu kama wajinga wengine wanavyowaza[emoji41][emoji41],,,. Nihayo tuu jamaa zangu we kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.